Nime zaliwa ndani ya familia yaki masiki mimipeke njo kiyongozi ya maisha yangu sitegemeye baba ama mama siku zaliwa mu ma ngombe kwaju niko malishwe na maziwa nilizaliwa mupori nika komala na sombe na njo mana sikuwake paresse .kuzaliwa masikini sio zambi ila kufa masiki njo zambi kama kumwanga damu nita mwanga yamuhumu nipate pesa . original legaboy .napambana busi kama vile muchana natafu pesa ,natamani kesho famille ikule bien maman ahishi vizuri sababu kazarahu ya batu ya dunia nahicho sana kama kuzimu njo ndapatia maisha yangu sacrifice nitapana kama kwa pasteur nako mbona nilisha omba sana sijuwe niende ngambo gani sana ,vraiment minachoka , minachoka, minachoka .siku zaliwa muma ngombe kwaju niko malishwe na maziwa nilizaliwa mupori nika komala na sombe,njo mana sikuwake paresse . jospino, bengine artistes kupata ba millions de vues lakini miye ata nafaje mbona sisipatake .njo mana sikuwake paresse.original legaboy