*R* / Jubilé, jubilé, jubilé, jubilé : tusherekeye
Jubilé, Jubilé, jubilé, jubilé : ya zahabu
*1* .Twakushukuru ee Mungu Mwenyezi kwa utukufu wako,
Ulio angazia Askofu Danilo ili aunde Diakonia yetu
*2* .Ewe *Maria Mama wetu* uliye somo wa Diakonia yetu,
Utuombeye usituache
kamwe katika hatari zote
Utujalie neema zako tumufuate mwana wako
*3* .Kwa miaka amsini sasa Diakonia yetu imewatuma watumishi wengi,
Shambani mwako ee Mungu uzidi kuwaita wengi
*4* .Twaomba kwako ee Yahwe umoja,amani na mapendo,
masikilizano,furaha,usabiti na maendeleo,
Vidumu kati yetu ili tuitwe wana wako kwa milele
*5* .Upendezwe ee Mungu kuigeuza Diakonia yetu,
ya Luberizi iwe Parokya takatifu yenye kuzaa,
matunda yenye kukupendeza kwa sasa na siku zote.